Familia zikitoroka Ardamata Darfur Magharibi kuingia Adre, nchini Chad, kufuatia msururu wa vurugu za kikabila. Tarehe 7 Novemba. Manusura walielezea visa vya watu kuuawa na uporaji katika eneo la Ardamata, uliofanywa na jeshi la Rapid Support na wanamgambo wa kiarabu wanaoliunga mkono

Familia zikitoroka Ardamata Darfur Magharibi kuingia Adre, nchini Chad, kufuatia msururu wa vurugu za kikabila. Tarehe 7 Novemba. Manusura walielezea visa vya watu kuuawa na uporaji katika eneo la Ardamata, uliofanywa na jeshi la Rapid Support na wanamgambo wa kiarabu wanaoliunga mkono

© 2023 REUTERS/El Tayeb Siddig