“Adila K.,” 35.

“Adila K.,” 35, alisema alirudi kutoka Oman mwezi Januari 2017 baada ya kukaa mwaka mmoja akifanya kazi katika familia moja ambayo walitaifisha hati yake ya kusafiria, walimlipa pungufu ya alichoahidiwa, na alilazimishwa kufanya kazi kwa masaa mengi bila kupumzika au kuwa na siku ya mapumziko. Kijiji cha Kiwangwa, Tanzania

© 2017 Rothna Begum/Human Rights Watch